....maana naenda kuwaandalia mahali, kama sivyo ningaliwaambia, ili nilipo mimi nanyi muwepo.
siku hii ilikuwa sabato y apekee sana kwani hata mmahudhirio yalitubariki sana, hapa ni ndani ya Kanisa la Waadventista Manzese, hawa waliwahi kukaa ndani ili kushiriki katika IBADA na Kupata baraka za Sikukuu hii za MAKAMBI.