WAPENDWA SABATO YA LEO TAREHE 24/04/2013 TUPO

 KATIKA KANISA LA MANZESE KATIKA IBADA YA PAMOJA,

NA MHUBIRI  NI  Dr. Godwin Lekundayo

 

  

Dr. Godwin Lekundayo - Tanzania Union Mission Presiden

 

IBADA IKIENDELEA NA KANISA LILIJAA KABISA, HAWA NI BAADHI YA WASHIRIKI WALIOHUDHULIA IBADA SIKU HII. 

 

TUNASHUKURU SANA MUNGU, KWANI WOTE TUMEBARIKIWA SANA NA MAHUBIRI YALIYOJENGWA NA SOMO LINALOSEMA '  KWANNI WATU WA WAKATI WA NUHU WALIPOTEA???